Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtandao wa Elimu Tanzania waja na mkutano huu

Jumapili , 16th Mei , 2021

Kufuatia uwepo wa changamoto kadhaa katika sekta ya elimu nchini mtandao wa elimu Tanzania (TENMET) umeandaa mkutano wa kimataifa kuzijadili changamoto hizo ikiwemo uwajibikaji wa pamoja katika kugharamia elimu bora.

Wanafunzi

ukihusisha taasisi zote za elimu za juu, taasisi za utafiti wakiwemo mabalozi wanaowakilisha nchi mbali mbali duniani. Mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete.

“Kila mwaka tumekuwa tunaandaa mktano wa kujadii ubora wa elimu ambao hutoa fursa kwa wadau wa elimu ikiwemo serikali wananchama wa mtandao wadau wa maendeleo kuona ni namna gani elimu wanayoipata watoto wetu inakwenda kujibu changamoto katika dunia ya leo”amesema Ochola. 

Akizungumza na EATV mapema hii leo mratibu wa mtandao huo wa elimu wamesisitiza kuwa kwa takribani miaka 60 ya uhuru wa Tanzania katika mkutano huo itajadiliwa ni elimu ya aina gani ambayo watanzania wanapashwa kuipata kwa sasa itakayokidhi mahitaji ya sasa ikiendana sambamba na mabadiliko ya Tehama.

Mkutano huu wa kimataifa unatarajiwa kufanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia mei 18hadi 20, 2021 ukihudhuriwa na wadau mbali kutoka ndani na nje ya Tanzania.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali