Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Msiseme mama anazunguka tu'' - Rais Samia

Jumapili , 17th Oct , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema ziara anazofanya nchi mbalimbali zinafaida kubwa kwa nchi hivyo wananchi wasibeze kwani nchi inafunguka na wafanyabiashara sasa wanaweza kuunza ndani na nje ya nchi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

''Tukizunguka msisema mama anazunguka tu, sitazunguka bila sababu. Nilishacheza vyakutosha kwenye nchi nyingi duniani sasa hivi kazi ni moja tu kuzunguka kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania,'' amesema Rais Samia Suluhu, leo mkoani Arusha wakati akihutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara.

Katika hatua nyingine ameeleza faida ya zaira alizofanya nchi za nje. ''Ziara nilizokuwa nafanya kwenye nchi jirani madhumuni ilikuwa kuondoa vikwazo vilivyokuwepo, kunyoosha njia ili wafanyabiashara wetu waweze kuuza ndani waweze kuuza nje, tumeondoa vikwazo na Kenya nimeambiwa biashara imekuwa mara 6 kuliko wakati wa vikwazo''.

Aidha amesema hatoogopa kuchukua mikopo ambayo itakuwa na lengo la kusaidia taifa huku akiweka wazi kuwa ile mikopo chechefu hatoichukua.

''Nataka niwaahidi watanzania nitaangalia mikopo yenye unafuu kwa nchi yetu, inayoleta faida kwa nchi yetu, hiyo nitaichukua, mikopo chechefu sitaichukua, lakini inayotusogeza watanzania hiyo sitaogopa nitaichukua,'' amesema Rais Samia Suluhu.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi