Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkuu wa wilaya 'ashangazwa'

Jumanne , 14th Nov , 2017

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mwl. Herman Kapufi ameshangazwa na jitihada binafsi zilizofanywa na wachimbaji wadogo katika kata ya Nyarugusu wilayani hapo baada ya kushirikiana na serikali ya Kata kufanikisha ujenzi wa shule.

Wachimbaji wadogo kwenye Kata ya Nyarugusu na Serikali ya kijjiji na kata  hiyo wameshirikiana kuchangia ujenzi wa madarasa manne na ofisi 2 za walimu kwenye Shule ya Msingi Tologo.

Mkuu wa wilaya alifika shuleni hapo kujionea jitihada za kuboresha miundombinu ya shule ya Tologo ambayo madarasa yake yaliharibiwa na mvua zilizoambatana na upepo hali iliyopeekea kubaki darasa moja tu.

Kiongozi wa wachimbaji hao Bw. Evarist Pascal alimweleza mkuu wa wilaya kuwa kutokana na kuwepo kwa hali ambayo ilisababisha wanafunzi kusomea madarasa ambayo yalikuwa yameezuliwa na mvua walionelea ni vyema wakichangia ujenzi huo hili  watoto wapate sehemu nzuri ya kujisomea.

Bw. Evarist amemwambia mkuu huyo wa wilaya kuwa ujenzi wa madarasa hayo pamoja na ofisi za walimu umegharimu kiasi cha  Sh, Milioni 56 ambazo zimechangwa na wachimbaji wadogo kutoka katika machimbo ya dhahabu ya Nyarugusu.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya Mwl. Herman ameeleza kushangazwa na uzalendo ambao umeoneshwa na wachimbaji hao kwa kuchangia ujenzi wa miundombinu hiyo huku akiahidi kutoa ushirikiano kwenye ujenzi wa Zahanati ya kitongoji cha Tologo ambapo hadi sasa wachimbaji hao wamefyatua tofali 3,000.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali