Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkurugenzi aelekeza wenyeviti 8 kukamatwa

Alhamisi , 31st Dec , 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, Fabian Manoza, ameagiza kukamatwa na kuwekwa ndani wenyeviti wa vitongoji 8, katika Kata ya Itinje wilayani humo, wanaodaiwa kula fedha za michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya sekondari ya Kata hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, Fabian Manoza.

Mkurugenzi huyo ametoa amri ya kukamatwa kwa viongozi hao wa serikali za mitaa, kwenye ziara yake ya kukagua na kuhamasisha ujenzi wa vyumba vya madarasa, iliyoshirikisha kamati ya ulinzi na usalama pamoja na kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani hapo na kujionea kukwama kwa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya sekondari ya Kata ya Itinje.

"Hapa kuna mambo makubwa mawili ikiwemo ya hawa wenzetu waliokula hela zetu na hawataki kurejesha sisi tunachotaka ni majina yao wale ambao wanafedha zetu, OCD hawa tunaondoka nao itakapofika wakati wa kufungua shule wote waanze shule", amesema DED Manoza.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Anthony Philip, amesema kuwa wiki ijayo halmashauri yake itatoa shilingi milioni 40 kwa ajili ya ujenzi wa sekondari hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi