Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkurugenzi Mtendaji BMH akutana na mabalozi

Alhamisi , 24th Nov , 2022

Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa Dkt.Alphonce Chandika, leo amekutana na mabalozi wa Tanzania waliopo Mashariki ya kati, Ulaya na Amerika, Asia kwa dhumuni la kuwaeleza mafanikio yaliyo letwa na Serikali katika sekta ya afya.

Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa Dkt.Alphonce Chandika

Dkt. Chandika amesema kuwa "Serikali imewekeza pesa nyingi kwa kuweka majengo mazuri, vifaa tiba vya kisasa na rasilimali watu, hivyo nasi tunatoa huduma kwa viwango hivyo hivyo, tokea Hospitali ianzishwe mahusiano baina ya Hospitali na nchi za nje yamekuwa yakiimarika siku kwa siku"

Kwa upande wake Mhe. Balozi Dkt Asha Rose Migiro, ameipongeza Hospitali kwa kuwa imekuwa ikitoa huduma zinazoendana na teknolojia ya sasa tena kwakuzingatia huduma kwa mteja. 

"Ukifika Hospitali ya Benjamin Mkapa huitaji kujitambulisha ili upate huduma nzuri maana utahudumiwa kwa kiwango kizuri pasipo kujali wadhifa wako kwakweli mnastahili pongezi kubwa, endeleeni na moyo huo wa kuwahudumia wananchi pasipo kubagua" amesema Dr Migiro, ambaye ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza.

Aidha Mhe. Balozi Swaiba Mndeme ameeleza nimuhimu kuzisaidia Taasisi zetu hususani Hospitali, "Tunaposaidia hizi Hospitali tunakuwa tumewafikia wananchi moja kwa moja nasi shabaha yetu iwe ni kuwasidia wananchi kwa kuiunganisha BMH na wataalamu walipo kwenye nchi tulizopo".

Hospitali ya Benjamin Mkapa ilizinduliwa Oktoba 13, 2015, na tangu izinduliwe imekuwa ikikuwa kwa kasi kubwa huku ikitoa huduma zake kwa ubunifu wa hali ya juu.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba