Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkakati wa kukuza utalii wazinduliwa

Jumanne , 27th Sep , 2022

Wizara ya maliasili na utalii nchini imezindua mkakati wa kukuza na kutangaza vivutio vya utalii nyanda za juu kusini kupitia mradi wa kuboresha usimamizi wa maliasili na kukuza utalii wa kusini ikiwa ni jitihada za kuendelea kuboresha sekta ya utalii

Waziri wa  maliasili na utalii Balozi Dr.Pindi chana amesema kwa sasa wizara inaendelea na uboreshaji wa miundombinu katika vivutio vya utalii kupitia mradi wa Regrow lengo likiwa ni kuimarisha vivutio vyote vya utalii kusini mwa tanzania.

Mkakati huo umeshirikirikisha mikoa Tisa ya kusini mwa Tanzania ambapo wakuu wa mikoa hiyo kwa umoja wao wameahidi kutoa ushirikiano kwa wizara katika kuhakikisha wanaboresha na kutangaza vivutio vya utalii.

Uboreshaji wa vivutio unalenga kupanua wigo katika wizara ya utalii ili kuongeza ukusanyaji wa mapato ya serikali.
Wakati jitihada hizo zikifanyika mkoa wa njombe umeomba uboreshaji wa uwanja wa ndege ili uweze kutumika huku wananchi wakitakiwa kutoa ushirikiano katika kutuza vivutio hivyo
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma