Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mikoa yote yatakiwa kuwa na huduma ya methadone

Jumanne , 21st Feb , 2017

Serikali imeagiza hospitali zote za mikoa nchini zianzishe kliniki maalum ya kutoa huduma za matibabu ya watumiaji wa dawa za kulevya kwa kutumia methadone, ndani ya miezi sita.

Dkt Kigwangalla katika ziara yake, Mwananyamala

 

Agizo hilo limetolewa na Naibu wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla alipotembelea kituo cha kuwahudumia watu wanaotibiwa kuacha dawa za kulevya kwa kutumia methadone kilichopo Hospitali ya Mwananyamala na kumuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya kuhakikisha kuwa kuna Daktari Bingwa wa Afya ya Akili kwenye kila mkoa ili kuanzisha na kusimamia vituo hivyo.

Dkt. Kigwangalla amesema kumekuwepo na ongezeko kubwa la watu wanaohitaji huduma hiyo kwa siku za hivi karibuni kutokana na kuongezeka kwa udhibiti wa dawa za kulevya, huku kukiwapo kwa taarifa kwamba wauzaji wa dawa za kulevya wameathiriwa kwa kupoteza mapato ya shilingi bilioni 70.

Pamoja na mambo mengine Dkt. Kigwangalla amekemea baadhi ya viongozi wanaopotosha jamii kuhusu dawa hizo methadone.

Kwa upande wake muangalizi wa kituo hicho Dkt. Kasian Ndindindi amesema uwepo wa kituo hicho cha Mwananyamala kwa sasa umesaidia kuwahudumia waathirika wa dawa za kulevya 3,351.

Nao baadhi ya watu wanaopatiwa huduma katika kituo hicho wamesema tangu waanze kutumia dawa hizo wamekuwa na unafuu mkubwa

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali