Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Michezo yampatia uongozi CCM

Jumanne , 26th Sep , 2017

Vijana wa umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wamesema kuwa wamemchagua Mwenyekiti wa Vijana wilaya ya Njombe ambaye atawakutanisha katika michezo kwa kuwa ni sehemu inayoweza kuwakutanisha vijana na kubadilishana mawazo na kuachana na

tabia hatarishi. 

Wakizungumza baada ya uchaguzi vijana hao wamesema kuwa kilichowafanya kumpatia ushindi Mwenyekiti Devota Kyoko ni kutokana na kujinadi kuwa atawaunganisha vijana kupitia michezo.

Mwenyekiti huyo atakaye dumu kwa muda wa miaka mitano katika kiti hicho aliyepatikana katika uchaguzi wa vijana wa chama hicho amesema kuwa vijana watatambua vipaji vyao kupitia michezo mbailimbali na kutafuta wafadhili wa vifaa vya michezo.

Aidha Kyoko amefunguka na kusema michezo inawakutanisha vijana na michezo sasa ni ajira vijana kama watatumia vizuri vipaji vyao baada ya kuvitambua watapata ajira zenye maslahi makubwa kuliko wasipo jihusisha na michezo.

"Michezo itasaidia vijana kujikinga na athari ya maambukizi ya virusi vya ukimwi,. Nimejipanga kuwatafutia vijana wafadhili mbalimbali kwa ajili ya kuwasaidia kwenye michezo. Nitahakikisha kila kata vijana wanapata vifaa vyite vya michezo" Bi Kyoko amesema.

 

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma