Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgombea Ubunge aliyefariki dunia kuzikwa leo

Jumanne , 15th Sep , 2020

Aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo la Mpendae kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Salim Turky, ambaye amefariki usiku wa kuamkia leo Sep 15, 2020, atazikwa leo Saa 10:00 Jioni huko Fuoni Kijito Upele mkoa wa Mjini Magharibi.

Salim Turky

Salim Turky alikua ni Mbunge wa Jimbo la Mpendae miaka mitano iliyopita na pia alikua mgombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28, ambapo imeelezwa kuwa na hata juzi katika ufunguzi wa kampeni za CCM Zanzibar uliofanyika viwanja vya Demokrasia Mjini Unguja.

Katika uzinduzi huo Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohammed Shein, alimpa fursa ya kujinadi na kuomba kura kwa wanachama wa CCM wa Jimbo la Mpendae ambao waliohudhuria. 

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwake Mpendae na maiti itaswaliwa katika Masjid  Muhammad (Msikiti wa Othman Maalim), uliopo Mchina Mwanzo na marehemu atazikwa Fuoni Kijito Upele Mkoa wa Mjini Magharibi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali