![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2017/11/16/DOvf7yGWkAAaZWS.jpg?itok=iMTX_AFm×tamp=1510825455)
Meli hiyo inayofanya shughuli zake za usafirishaji kati ya Mwanza na kisiwa cha Gozba Wilayani Muleba Mkoani Kagera, ilizama majira ya saa nne usiku ikiwa na nahodha, wabeba mizigo pamoja na mzigo wa magunia 750 ya dagaa.
Jeshi la Polisi linaendelea kufuatilia kubaini kama kuna waliosahaulika majini, na taarifa zaidi zitatolewa baada ya zoezi hilo kukamilika.