
Mbunge wa Viti Maalum Nusrat Hanje
Kauli ameitoa Bungeni hii leo Mei 27, 2021, wakati akiuliza swali kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, na kuiomba serikali iangalie namna ya kuwaajiri kwani hivyo vyuo vinatambulika, ambapo Waziri Mkuu alijibu kwamba tatizo la ajira ni la Dunia nzima hivyo serikali inao mkakati wa kuanzisha viwanda vitakavyoweza kutoa ajira kwa watu wote.
Tazama video hapa chini