
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe
Kauli hiyo ameitoa leo Mei 29, 2021, mkoani Shinyanga, mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa ofisi za chama hicho katika Jimbo hilo.
Mbowe pamoja na viongozi wengine anaendelea na ziara katika mikoa mbalimbali ikiwa ni harakati za kuendelea kukiimarisha chama hicho.