Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbinu hii mpya kuvutia uwekezaji nchini

Jumatano , 12th Mei , 2021

Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Prof. Godius Kahyarara amesema uzinduzi wa Kituo Cha huduma kwa wateja utapunguza gharama na mizunguko kwa wawekezaji ambao wamekuwa wakifika hapa nchini.

Kulia Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Prof Godius Kahyarara, Kushoto ni Kituo cha Uwekezaji Tanzania

Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kuzindua Kituo hicho Cha huduma kwa wateja kilichopo katika Kituo Cha Uwekezaji Nchini Tanzania TIC ambapo amesema kwa kipindi chote sasa kupitia Kituo hicho wawekezaji watapata nafasi ya kupata taarifa zote za kiuwekezaji kupitia simu.

"Sasa hivi uwepo wa Kituo hiki Cha huduma kwa wateja kitawasaidia wenye uhitaji wa kuwekeza kupata taarifa sahihi wakati wote hii pia ikipunguza gharama na muda wa wawekezaji kuzunguka" amesema Prof. Kahyarara

Aidha amesema kuwa awali Kituo hicho hakikuwepo lakini kutokana na nia ya serikali ya kuongeza wawekezaji imelazimika kufungua Kituo hicho ili kuhakikisha wawekezaji wanapatiwa huduma stahiki kwa wakati.

Kwa upande wake Mkurugenzi mkuu wa sekta binafsi idara ya wanachama Zaki Mbena amesema Wawekezaji wanapenda mazingira rafiki kama hayo.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu