Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbaroni kwa kuvamia kituo cha polisi

Jumatatu , 19th Feb , 2018

Watu wawili wamekamatwa na wengine wawili wakidaiwa kutoroka baada ya Jeshi la Polisi wilayani Ruangwa mkoani Lindi kufanikiwa kuwatia mbaroni kwa madai ya kutaka kuvamia kituo cha polisi wilayani humo huku wakiwa na silaha za kivita.

Kamanda wa Polisi mkoani Lindi, Renatha Mzinga amesema kwa sasa watu hao wako chini ya ulinzi na wanaendelea kuhojiwa.

Amefafanua kwamba “Watuhumiwa hao walikuwa wakizunguka kituo cha polisi kabla ya kudhibitiwa na baadaye kufuatiliwa na kukutwa na zana hizo mbalimbali za uhalifu.” Kamanda Mzinga.

Pamoja na hayo imebainishwa kwamba katika msako ulioendeshwa wilayani Liwale, Polisi wamefanikiwa kukamata silaha ikiwemo bunduki moja ya SMG na mapanga matatu pamoja na vifaa mbalimbali vya kuvunjia sanjari na risasi.

Hata hivyo Jeshi la polisi mkoani Lindi limeendelea kuitahadharisha jamii kutojihusisha na masuala ya  uhalifu huku ikiwekw wazi kwamba taarifa kamili juu ya watuhumiwa itatolewa baada ya kukamilika kwa upelelezi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi