
Dominita Kana, Mama aliyeibiwa mtoto wake
Akisimulia tukio hilo Mama mzazi wa mtoto huyo anayeitwa Dominita Kana, amesema kuwa mwanamke huyo aliyemwibia mwanaye walikutana mapokezi wakati Dominita akijianda kutoka kwenda kununua dawa ya mwanaye.
Kwa upande wake Kamanda wa Polisi mkoa wa Iringa Juma Bwire, amesema kuwa taarifa za tukio hilo wanazo na ameiomba jamii kutoa ushirikiano endapo wataona mazingira ya mwanamke mwenye mtoto ambayo haeleweki ikiwemo mtoto kulia sana.
Tazama video hapa chini