
Makamu wa rais wa Tanzania, Dkt Mohammed Gharib Bilal.
Akizungumza mapema leo katika maadhimisho ya uzinduzi wa mbio za Mwenge kitaifa yaliyofanyika mkoani Kagera, Dkt. Bilal amesisitiza umuhimu wa uzalendo na kudumisha Muungano
Dkt. Bilal amesema Watanzania wanatakiwa kuwa watulivu hasa wakati huu ambapo Katiba mpya ya nchi inaendelea kutungwa .