Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majaliwa ataka maeneo haya yatengwe

Alhamisi , 19th Nov , 2020

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa amefanya ukaguzi wa ujenzi wa karakana ya utengenezaji wa mabehewa na vichwa vya treni unaoendelea katika eneo la Kwala mkoani Pwani nakutaka mkurugenzi kutenga maeneo kwa ajili ya shughuli maalum.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa

Majaliwa ameyasema hayo mara baada ya kufanya ukaguzi wa karakana hiyo  na kulipongeza shirika la reli Tanzania (TRC) kwa kazi nzuri wanayoifanya mbapo pia  amewaahidi watanzania kuwa miradi yote ya kimkakati ikiwemo ya reli Serikali itahakikisha inakamilika.

“Lazima kuwe na hoteli lazima kuwe na nyumba za kulala wageni , kuwe na maeneo ya masoko ya kibiashara , kuwa na maeneo ya usafiri mdogomdogo wa kuunganisha vijijini kuja hapa, taxi, bodada lazima litengwe eneo na mkurugenzi unanisikia hapa ninapo hesabu hesabu  hayo ndio mambo muhimu mazingira yote yatengenezwe kila mtu anufaike ”  amesema Waziri Majaliwa

Aidha Majaliwa ameweka wazi kuwa ana ridhishwa na kasi ya ujenzi wa karakana ya utengenezaji wa mabehewa na vichwa vya treni unaoendelea katika eneo la Kwala mkoani Pwani huku akisema kuwa huo ni mji mpya wa baadaye endapo mambo yote aliyoyasema yatafanyiwa kazi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi