Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakamani kwa kumbaka aliyemlipia mahari

Ijumaa , 27th Jan , 2023

Samson Masalu (18) amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza kwa kosa la ubakaji, kwani amekuwa akimbaka msichana mwenye umri wa miaka 17 na kumsababishia kushindwa kuripoti shule ya sekondari Bujiku Sakila aliyopangiwa kujiunga kidato cha kwanza.

Samson Masalu

Mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya Kwimba John Jagadi, Mwendesha Mashtaka wa serikali Robert Mwanakatwe, ameiambia mahakama hiyo kuwa Masalu anadaiwa kuishi na binti huyo tangu Desemba 2022, na kuwalipa wazazi wa binti huyo mahari ya ng’ombe saba hadi tarehe 23 ya mwezi huu wa kwanza polisi walipombaini na kumkamata mwanaume huyo huku wazazi wa binti huyo wakikimbia kusikojulikana.

Aidha Mwendesha Mashtaka huyo wa serikali amesema mshtakiwa huyo anakabiliwa na shtaka la ubakaji kwa mujibu wa kifungu cha 130 kidogo cha pili E na kifungu 131 kidogo cha kwanza cha sheria ya adhabu sura ya 16 marekebisho ya mwaka 2022.

Baada ya kusomewa shtaka lake la ubakaji mshtakiwa huyo amerudishwa rumande katika gereza la wilaya ya Kwimba hadi tarehe sita ya mwezi wa pili mwaka huu shtaka hilo litakapotajwa tena.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali