Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakamani kwa kubaka watoto 14

Jumapili , 22nd Oct , 2017

Jeshi la Polisi mkoani Singida linatarajia kumfikisha Mahakamani Minga Daud Idd ambaye ni mganga wa kienyeji mkazi wa mtaa wa Minga kwa tuhuma ya kunajisi watoto 14.

Kaimu kamanda wa Polisi mkoa wa Singida Isaya Mbughi amethibitisha hilo ambapo amesema upelelezi unaendelea na muda wowote kuanzia kesho mtuhumiwa huyo Daud Idd mwenye miaka 74 atafikishwa mahakamani.

“Ni kweli tunamshikilia Daudi Idd kwa tuhuma ya kunajisi watoto 14 wenye umri kati ya miaka saba na 12 na kuwasababishia maumivu makali katika sehemu zao za siri, na upelelezi unaendelea ambapo muda wowote kuanzia kesho atafikishwa mahakamani”, amesema Kamanda Mbughi.

Kamanda amesema walibaini vitendo hivyo Oktoba 16 baada ya mtoto mmoja mwenye umri wa miaka saba kulalamika kuwa anasikia maumivu sehemu za siri akiwa anaogeshwa na Mama yake, ndipo Mama yake akafuatilia na mtoto kueleza kuwa vitendo hivyo hufanyiwa yeye na wenzake.

Baada ya Mama huyo kuambiwa na mwanae kuwa Mzee Daud maarufu Babu Karatu ndio anawafanyia vitendo hivyo Mama aliripoti kwa mwenyekiti wa mtaa wa Minga kisha wakaripoti Polisi ndio hatua za kumkamata mganga huyo wa kienyeji zikafuata.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali