Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli, Samiah kukabidhiwa hati ya ushindi leo

Ijumaa , 30th Oct , 2015

Aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye kwa sasa ndiye Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli leo anatarajiwa kukabidhiwa hati ya ushindi kutoka tume ya taifa ya Uchaguzi(NEC).

Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Joseph Pombe Magufuli akiwa na Makamu wake wa Rais Mama Samia Hassan Suluhu

Hapo jana tume hiyo imemtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa mshindi wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu ambapo ushindi huo utaenda sambamba na mgombea wake mwenza mama Samia Suluhu Hassan.

Akitangaza matokeo hayo leo jijini Dar es Salaam, mwenyekiti tume hiyo jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema Dk. John Pombe Magufuli amepata kura 8, 882, 635 sawa na asilimia 58.46, akifuatiwa na mgombea wa Chadema Edward Ngoyai Lowassa aliyepata kura 6,072,848 sawa na asilimia 39.97.

Jaji mstaafu Lubuva ameeleza kuwa katika uchaguzi mkuu jumla ya wapiga kura 23,121, 440 walijiandikisha kupiga kura, waliopiga kura ni 15,585,639 sawa na asilimia 67.31, kura halali zilizopigwa ni 15, 193,861 sawa na asilimia 97.49,.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi