Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magari yaliyokaguliwa kuwekwa stika na jina

Jumatano , 20th Oct , 2021

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Wilbroad Mutafungwa, amesema magari yatakayofanyiwa ukaguzi katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama yatawekewa stika maalum na jina la Askari aliyelifanyia ukaguzi kwa lengo la kuepusha janja janja ya madereva wenye magari mabovu.

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Wilbroad Mutafungwa

Kauli hiyo ameitoa hii leo Oktoba 20, 2021, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, katika kuelekea maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani ambayo yatafanyika mkoani Arusha yenye kauli mbiu isemayo, “Jali Maisha Yako Na Ya Wengine Barabrani”.

"Katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama, gari ikikaguliwa itawekwa sticker maalum itakayoonesha kwamba hili gari limeshakaguliwa na pia gari litawekwe bampa sticker ya ujumbe wetu wa mwaka huu, kwa lengo la madereva kujikumbusha," amesema Kamanda Mutafungwa

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma