Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Madaktari 209 kutupwa TAMISEMI

Alhamisi , 20th Apr , 2017

Serikali imeagiza Madaktari 209 kati ya Madaktari 258, watakaoajiriwa na Serikali kwa agizo la Rais Dk. John Pombe Magufuli, wapelekwe Ofisi ya Rais Tamisemi ili kwenda kuongeza nguvu kazi na kukabili uhaba wa madaktari maeneo ya vijijini.

Waziri Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, ametoa agizo hilo leo Jijini Dar es Salaam kwenye mkutano na wataalamu na madaktari bingwa wa masuala ya wanawake na uzazi kutoka ndani na nje ya nchi ambapo amesema maeneo ya vijijini bado yana changamoto kubwa sana ya kukosa madaktari bingwa hasa wa masuala ya kina mama wajawazito.

Amesema, moja ya changamoto ni 64% tu ya wanawake ndio wanajifungulia eneo lenye mhudumu wa afya na kwamba, tayari maelekezo yametolewa kwa Wakurugenzi wa halmashauri nchini kuhakikisha wanaboresha mazingira ya wajawazito.

Kwa upande wake Rais wa AGOTA Andrea Pembe amesema katika takwimu walizonazo kwa sasa kila watoto laki moja wanaozaliwa hai wanafariki kutokana na swala la uzazi usio na mpango na kuwataka kina mama kuzingatia maelekezo ya wataalamu wa afya kuhusu huduma muhimu na kuiomba serikali iboreshe huduma za afya ya uzazi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali