Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lindi : Mama asababisha mtoto kuungua moto

Alhamisi , 22nd Aug , 2019

Mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina Abdulrazak Hamis (2), mkazi wa Kijiji cha Njinjo wilayani Kilwa, ameungua kwa moto sehemu kubwa mwilini mwake, kufuatia kuachwa karibu na moto na mama yake Mzazi.

Akizungumzia hali ya mtoto huyo, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Lindi Dr. Albert Chotta, amesema hali yake si nzuri kutokana na kuungua asilimia 90 ya mwili wake, huku akitoa wito kwa wazazi kuwa makini na majanga ya moto.

Katika mahojiano maalum na EATV & EA Radio Digital, Daktari huyo amesema Abdullazaki Hamisi, amelazwa wodi namba 1 katika Hospitali ya Mkoa wa Lindi, akipatiwa huduma za tiba kutoka kwa wataalamu, huku ikielezwa karibu robo tatu ya mwili wake ukiwa umeungua moto huo.

Kwa upande wake Mama mzazi wa mtoto huyo, Salma Hamisi, amesema baada ya kumaliza kumuogesha mtoto huyo aliamuacha karibu na moto ili apate joto ndipo moto ukashika nguo alizokuwa amevaa na kuanza kuungua, huku yeye akiwa nje ya nyumba bila kujua kinachoendelea ndani.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi