Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wabunge CHADEMA kumuamshia dude Magufuli kwa hili

Jumamosi , 23rd Sep , 2017

Baada ya Rais Magufuli kuhutubia Arusha katika shughuli za kuwatunukia Kamisheni Maafisa ya Jeshi la Wananchi JWTZ na kisha kuwapa nafasi Madiwani kumi waliohama Chadema kwa madai ya kumuunga Rais mkono Wabunge wa Arusha wametaka kukutana na Rais

ili wamuoneyeshe rushwa ilivyotumika na watumishi wake.

Kupitia ujumbe wa Video uliowekwa na viongozi hao mtandaoni, Godbless Lema wa Arusha Mjini  pamoja na Joshua Nassari wa Arumeru Mashariki wamemtaka Rais Magufuli kuwapatia nafasi za kuweza kumthibitishia jinsi viongozi wake walivyoweza kutumia rushwa na kuwashawishi madiwani hao wa Chadema kuachia ngazi na kumhakikishia kuwa ushahidi wote wanao hivyo wao wapo tayari kumuonyesha hata mbele ya vyombo vya usalama.

Mh. Lema amesema kuwa wao kama Chadema hawana shida kwa viongozi hao kuondoka ndani ya chama chao na hata kama wataondoka wote, lakini wanachosikitika ni jinsi viongozi hao walivyofanya vitendo vya aibu na vya kumdhalilisha Mh. Rais kwa kutumia rushwa.

"Tuna taarifa tulizipata kwamba leo madiwani wawili wa Arusha mjini wangeondoka na kujiunga na CCM lakini kwetu siyo shida, Mh. Rais anapaswa kufahamu kwamba hakuna chochote kitakachofanyika kwenye ofisi za Mkuu wa mkoa, Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi ndani ya Arusha na sisi tusikipate. Sasa Mh. Rais. Mimi nataka umuite Nasarri, RPC, IGP na hata Takukuru tukupatie ushahidi. Mimim sitaweza kuja maana najua sipendwi sana.

Ameongeza kwamba "Tulikuwa tunasubiri tukio la leo, wewe ni Rais mcha Mungu na Kiongozi unayepinga Rushwa, hawa watu wanaosema wamejiunga na Chama chao utajua wamejiunga kwa sababu ya kukuunga mkono au wameunga rushwa na fedha mkono.  Hawa watu walioandaa hafla Mh. Rais wamekutia aibu sana na tutoe angalizo kwamba ushahidi huu haupo nyumbani kwetu msije kutufata upo hewani na mkituletea shida tutawaambia vijana wabonyeze Button ili usambae au pia usikutana na Nassari tutauachia.

Kwa Upande wa Mbunge Joshua Nassari amesema kesho watafanya mkutano na wanahabari na kuelezea rushwa ilivyotumika na viongozi kumdanganya Rais wa nchi na kusisitiza ushahidi wao hauna mashaka.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya