Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lema apigwa kalenda

Jumatatu , 21st Aug , 2017

Kesi iliyokuwa ikimkabiri Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mhe. Godbless Lema imehairishwa hadi Septemba 20 mwaka huu ambapo itasikilizwa tena.

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mhe. Godbless Lema.

Hayo yamebainishwa mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Arusha, Devota Msofe, Mwanasheria wa serikali Agnes Hiera ambapo alieleza kuwa kesi ya Lema ilikuwa inatakiwa kusomewa maelezo ya awali ya mashtaka yanayomkabiri lakini kwa bahati mbaya majalada yake yameitwa kwa Mkurugenzi wa mashtaka nchini.

Baada ya maelezo hayo, Wakili wa utetezi Sheck Mfinaga ameiomba Mahakama leo ndiyo iwe kuweka aihirisho la mwisho kwa kesi zinazomkabiri Lema kwani zimekuwa zikiahirishwa mara kwa mara.

Awali, Mei 29 mwaka huu, Hakimu Mkazi Desdery Kamugisha ambaye alikuwa akisikiliza kesi hizo alijitoa kuendelea kusikiliza kesi namba 441/2016, ambapo Lema anadaiwa kutoa matamshi yenye chuki na kuibua nia ovu kwa jamii. 

Mhe. Godbless Lema alikaa Mahabusu ya gereza kuu la Kisongo kwa zaidi ya miezi minne, kutokana na kukosa dhamana katika kesi iliyokuwa inamkabiri na kuja kuachiwa kwa dhamana Marchi 3 mwaka huu na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu