Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinyago chaundwa kwa miaka 4, chauzwa milioni 50

Ijumaa , 16th Aug , 2019

Unapostaajabu kazi ya sanaa ilivyo, yakupasa kufikiria na ubunifu wa watengenezaji wa kazi zenyewe ikiwemo vinyago vyenye muundo wa aina mbalimbali.

Muuzaji wa kinyago chenye thamani ya milioni 50

Ukipita katika eneo la Mwenge Jijini Dar es Salaam, sehemu panapouzwa vifaa mbalimbali vya sanaa maarufu kama Vinyago, utakutana na kinyago kilichochongwa kwa zaidi ya miaka minne kuanzia mwaka 2008 na kukamilika June 2012, kinyago kilichomlazimu mchongaji kutumia akili kubwa zaidi ili kukimaliza.

Inaelezwa kuwa kinyago hicho kilichongwa na mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Joacqim Mpende, na mfanyabiashara wa kinyago hicho anaitwa Vitaly Katani, ambapo ameeleza kuwa bei ya kinyago chake kwa sasa ni milioni 50.

Inadaiwa wamekuwa wakipatikana wateja wa kukinunua, lakini changamoto iliyopo ni namna ya upatikanaji wa vibali vya kusafirisha kazi ya sanaa nje ya nchi.

Mtazame hapa akizungumza.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali