Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kijana ateswa na ugonjwa huu kwa miaka sita.

Alhamisi , 23rd Mar , 2023

Kijana mmoja aliyefahamika kwa majina ya Eliya Zabroni Shilinde mkazi wa Gongolamboto amejitokeza kuwaomba wadau,wafadhili msaada kutokana na changamoto ya kiafya aliyonayo kwenye mwili wake kwa takribani miaka sita kutokana na kupata aleji ya dawa alizomeza kutokana na maumivu ya kichwa

Eliya Shilinde ajitokeza kuomba msaada wa matibabu.

Akizungumza kwa tabu kijana huyo akikatisha maongezi kutokana na miwasho mikali mwilini mwake akibainisha kuwa anapata tabu ya kutokana na miwasho kuacha mabaka na ngozi kubanduka.

Kijana huyo amesema kutokana na uduni wa familia yake yuko na mama yake mzazi asiye na uwezo n kwamba anatamani kupata msaada kutoka kwa watanzania watakaoguswa na madhira anayopitia.

Mama mzazi anasema Eliya ni mtoto wa tatu kwenye familia yake baada ya mumewe kufariki Eliya akiwa na matatizo hayo mwaka wa tatu ameeleza kuwa imemlazimu kuacha kazi ili kumsaidia kijana wake akimwogesha na kumpa huduma zote licha ya kuwa na jinsia tofauti na yeye.

Waswahili wanasema hujafa hujaumbika eliya alikuwa mzima na sasa anapitia madhira magumu huku hali ya maisha ikiwa tete kijana wa kiume akifanyiwa huduma zote za kiafya na mama yake mzazi nani kama mama.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma