Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kigwangalla aomba hawa wakamatwe

Jumanne , 26th Sep , 2017

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwakamata watu wote waliohusika kuchakachua fedha za ujenzi wa jengo la Zahanati ya Neruma.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla.

Dk. Kigwangalla ametoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara yake ya kuimalisha sekta ya afya wilayani Bunda Mkoani Mara ambapo aliweza kukagua jengo  jengo la Zahanati ya Neruma,iliyopo Kata ya Neruma Wilayani Bunda, Mkoani Mara na kubaini milioni 29 fedha za ujenzi zikiwa zimechakachuliwa. 

Akizungumza Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Isaack Mahela alimweleza Naibu Waziri kuwa, ujenzi wa jengo hilo umegharimu jumla ya milioni 29 kwa ajili ya kupanua na kuweka fremu za milango pamoja na madirisha, kitu ambacho kimeonekana hakiendani na uhalisia wa fedha hizo.

"Nakuagiza Mkurugenzi, uhakikishe unawasilisha nyaraka zote za fedha za jengo hili kwa TAKUKURU na wale wote waliohusika kupitisha fedha hizo na uwakabidhi TAKUKURU ili wafanye uchunguzi na kuchukua hatua zichukuliwe", amesema Dkt. Kigwangalla.

Dk. Kigwangalla amesema kuwa taifa linataka kusonga mbele hivyo watu wanaokwamisha mchakato wa Rais wa kuwaletea maendeleo wananchi wake lazima wachukuliwe hatua ili watu wengine waogope kutafuna fedha za umma.

Jengo hilo ambalo pia limeonekana kuwa chini ya kiwango katika maeneo kuta zake, mchakato wa ujenzi wa jengo ulianza tokea  mwaka 2015 kwa nguvu za wananchi na baadae Halmashauri ilitenga fedha za kumalizia mchakato kiasi cha milioni 29, ambazo zimebainika kutafunwa na watendaji waliokuwa wanashughulikia zoezi hilo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali