Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kesi ya Zumaridi yakwama Mahakamani

Alhamisi , 30th Jun , 2022

Kesi namba 12 inayomkabili Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi na wafuasi wake 84 imekwama kuendelea leo katika Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza kutokana na shahidi kupata changamoto ya kiafya.

Mbele ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza Monica Ndyekobora wakili upande wa serikali Emmanuel Luvinga ameiambia mahakama hiyo kuwa shahidi hiyo ambae ni askari wa jeshi la Polisi anayefahamika kwa jina la Evodius ana changamoto ya kiafya na kuomba ipangwe tarehe nyingine ya shauri hilo kuendelea kusikilizwa

Jopo la mawakili upande wa utetezi likiongozwa na wakili Erick Mutta likaridhia ombi hilo ndipo mahakama ikapanga tarehe ya kusikiliza shauri hilo ambayo ni Julai 13 huku shahidi akitakiwa kufika Mahakamani hapo bila kukosa ili kutoa Ushahidi wake

Inaelezwa kuwa Zumaridi na wafuasi wake 84 wanakabiliwa na kosa la kumshambulia askari Polisi ajulikanaye kama Jmaes Mgaya katika sehemu mbalimbali za mwili wake na kumzuia kutekeleza majukumu yake ya kazi mnamo February 23 mwaka huu katika eneo la Buguku, Buhongwa wilayani Nyamagana jijini Mwanza.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali