Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya na Namibia zapunguza gharama za mawasiliano

Jumatatu , 26th Sep , 2022

Nchi za Kenya  na Namibia zimepunguza  gharama za mawasiliano ya simu na kuwa nchi mbili ambazo zina gharama nafuu zaidi za kupiga simu katika bara la Afrika. 

Kuanzia mwezi Oktoba mwaka huu , Namibia  itapunguza gharama za mawasiliano kwa silimia 50 , ambapo kwa mujibu wa  Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya mawasiliano nchini Namibia , Emilia Nghikembua amesema kuwa moja ya gharama kubwa za mawasiliano ni kupiga simu kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine , na kwamba punguzo hilo limenuia kuongeza ushindani zaidi.  

Ameongeza kwamba kwa sasa wateja wanaweza wasione tija ya punguzo hilo, lakini tija hiyo itaonekana pale ambapo ushindani utaanza kuwa mkubwa  haswa kwa makampuni ya simu kupunguza viwango vya gharama.

Mamlaka ya mawasiliano nchini  Kenya mwezi uliopita ilipunguza gharama za mawasiliano kutoka  shilingi za Kenya  0.99 (sawa na shilingi za Kitanzania  kufikia  Ksh 0.58 (Tsh. 11.6)

 

 Nigeria na Afrika Kusini na zenyewe zimekua na mipango ya kupunguza gharama za mwasiliano ya simu.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao