Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Ndugai baada ya kujiuzulu

Alhamisi , 6th Jan , 2022

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amejiuzulu wadhifa wake hii leo.

Job Ndugai, Spika wa Bunge aliyejiuzulu

Taarifa ya kujiuzulu kwake ameitoa hii leo Januari 6, 2022, na kusema kwamba tayari ameshamuandikia barua ya kujiuzulu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Daniel Chongolo, na nakala yake kuiwasilisha kwa Katibu wa Bunge, na kuongeza kwamba uamuzi alioufanya ni binafsi na hiari na ameamua hivyo kwa maslahi mapana ya Taifa, serikali na chama chake.

Spika Job Ndugai amechukua hatua hiyo, baada ya video zake kusambaa mitandaoni akikashifu fedha za mkopo zilizochukuliwa na serikali kutoka IMF, kwa kusema kwamba deni la taifa limekuwa kubwa na kwamba ipo siku hii nchi itapigwa mnada.

Mara baada ya kauli hizo licha ya Spika Ndugai kumomba radhi kwa Rais Samia pamoja na Watanzania, Rais Samia alioneshwa kukerwa na kiongozi huyo wa Muhimili wa Bunge kutoa kauli kama hizo.

Katika barua yake Spika Ndugai, amewashukuru wabunge wenzake, serikali, wananchi wa jimboni kwake pamoja na Watanzania kwa ujumla kwa ushirikiano waliompa wakati akitumikia kiti cha Uspika wa Bunge.

Job Ndugai alianza kutumikia nafasi hiyo Novemba 17, 2015 hadi hii leo alipojiuzulu.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA