Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kaliua yaibuka kidedea mpango wa kuinua elimu

Jumanne , 17th Jan , 2017

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amekabidhi hundi ya shilingi 704, 627,856 kwa Halmashauri ya Kaliua ambayo imekuwa ya kwanza kati ya 10 zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa mpango wa 'lipa kulingana na matokeo'

Prof. Joyce Ndalichako 

Katika mwaka wa pili wa utekelezaji wa program hiyo ambayo iko chini ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (2015/2016), zaidi ya shilingi bilioni 22 zimetolewa kama motisha kwa halmashauri 179 kulingana na jinsi zilivyokidhi vigezo.

Halmashauri zilizoongoza na kiasi cha pesa kwenye mabano ni kama ifuatavyo. Kaliua (704, 627,856), Geita (657,954,115),  Bunda (538,189,807), Rorya (419,338,115), Nzega (415,222,770), Ngara (384,769,590), Itilima (364,387,825), Kongwa (363,652,691) na Chato 336,207,850)

 

Halmashauri zote 10 zilizofanya vizuri zimepewa fedha hizo baada ya kufanya vizuri zaidi kwenye maeneo mbalimbali ya malengo ikiwa ni pamoja na uandaaji mzuri wa takwimu za shule zao, urekebishaji wa ikama ya walimu kwa kuwatawanya ndani ya halmashauri kwa kuzingatia mahitaji na utawanywaji na taarifa za matumizi ya fedha za ruzuku na uendeshaji wa shule kwa usahihi na wakati.

Kwa upande wake Mkurugezi wa Halmashauri ya Kaliua, Bw. John Pima, amesema fedha walizopatiwa na serikali wanazielekeza katika utekelezaji na uboreshaji wa elimu katika halmashauri hiyo na kuongeza zaidi kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi.

Kwa upande wake Waziri Ndalichako amewataka viongozi wote wanaosimamia masuala ya elimu kufanyakazi kwa weledi ili kuleta tija katika sekta ya elimu ikiwa ni pamoja na kuinua kiwango cha ubora wa elimu nchini.

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA