Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM awaongoza watanzania siku ya Mashujaa

Jumanne , 25th Jul , 2017

Rais John Magufguli, leo Julai 25, amewaongoza watanzania kwa ujumla, ikiwa pamoja na wananchi wa Singida  waliohudhuria uzinduzi wa barabara ya Manyoni, kuwakumbuka mashujaa wa taifa hili waliopambana katika vita mbalimbali ikiwemo vita ya Kagera.

Dkt. Magufuli aliwataka watu waliohudhuria mkutano huo wa hadhara kusimama kwa dakika moja ili kutoa heshima kwa mashujaa hao kwakuwa leo ni siku ya mashujaa ambayo huadhimishwa kila ifikapo Julai 25.

Kupitia hadhara hiyo Magufuli amevipongeza vikosi vyote vya majeshi ya ulinzi na usalama nchini kwa kazi kubwa wanayofanya, kuilinda nchi na kuifanya kuwa tulivu kiasi cha kuwavutia watu wengine kukimbilia kujiunga na vikosi vya jeshi.

Katika hatua nyingine Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) limeadhimisha Siku ya Mashujaa kwa kutoa huduma za afya, kuchangia damu na kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali nchini katika kuwakumbuka na kuwaenzi waliopoteza maisha wakishiriki vita mbalimbali kutetea nchi yao.

Akizungumza na vyombo vya Habari katika viwanja vya Mnazi Mmoja leo Jijini Dar es Salaam, ambako maadhimisho hayo yamefanyika kimkoa, Mkuu wa Majeshi nchini Jenerali Venance Mabeyo amesema, "huduma za jamii zilizotolewa hii leo zinalenga kusogeza jeshi hilo karibu zaidi na wananchi wake sambamba na kuhakikisha mahitaji muhimu ya kiafya hususani upatikanaji wa damu salama ni uhakika".
 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba