Ijumaa , 24th Jul , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza siku 7 za maombolezo kuanzia leo Ijumaa Julai 24, 2020, kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Dkt. Benjamin William Mkapa.

Marehemu Benjamin Mkapa

Katika kipindi chote cha maombolezo bendera zote zitapepea nusu Mlingoti. 

Zaidi taarifa ya Ikulu hapo chini