
Ibada imefanyika katika Kanisa alilokuwa akisali mtangazaji huyo tangu kuzaliwa kwake mpaka umauti ulipo mkuta
watu wanataka wakapike kwao unakuta kama hii miguu ya kuku na utumbo hawanunui

Kamanda wa Kikosi cha wanamaji, ACP Moshi Sokoro akionesha boti zilizokamatwa

Afisa lishe kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala Bw. Walbert Mgeni akifafanua kuhusu makundi mbalimbali ya vyakula na namna yanavyotakiwa kutumiaka.

Takribani watoto 27, wamezaliwa katika Hospitali tatu za rufaa za mkoa wa Dar es Salaam

Utaratibu wa kutoa zawadi zinazoweza kuacha alama kwa wanawazawadia ili waendelee kuwakumbuka kwa ukarimu waliouonesha kwao.

Mch. Dr Eliona Kimaro, Mchungaji Kanisa la KKKT Usharika Wa Kijitonyama Dar es Salaam akihubiri wakati wa ibada ya Krismasi.

Said Lugumi akiongea na waandishi wa habari alipo waalika watoto yatima.

Yanga SC imeshinda michezo miwili mtawalia ya ligi kuu Tanzania bara kwa mara ya kwanza tangu ipoteze dhidi ya kikosi cha Tabora United kutokea mkoani Tabora.