Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Instagram wamchangia pesa Rais Magufuli

Ijumaa , 23rd Aug , 2019

Wakili wa  kujitegemea Albert Msando, amekabidhi kiasi cha Shilingi milioni tano kama mchango wa kumsaidia kumlipia deni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, alilokuwa  anadaiwa na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Rais Magufuli

Deni hilo lilikuja baada ya Rais Magufuli, kufika hospitalini hapo kwa lengo la kuwatembelea majeruhi wa ajali ya moto Mkoani Morogoro, alijitokeza  mwanamke aliyemuomba msaada wa kumlipia gharama za matibabu,  baada ya mama yake kufariki dunia, ambapo Rais Magufuli aliuagiza uongozi wa hospitali hiyo kumuachia na kwamba yeye atazilipa gharama hizo.

''Mimi binafsi kupitia akaunti yangu ya instagramu niliamua kuwahamasisha wananchi wamchangie Rais Magufuli ili tuweze kulipa hili deni, lengo la kufanya hivi ni kuhamasisha matumizi bora ya mitandao ya kijamii, jambo la pili nikuonyesha kwamba Mh Rais na yeye ni binadamu kama alivyo mwingine ambaye na yeye anaguswa na ndio maana siku zile alisema Profesa nidai mimi'', amesema Msando.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali ya Muhimbili Profesa Laurence Museru,  amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la wao kumruhusu mwanamke huyo kuchukua mwili wa mpendwa wake na kuondoka,  wao kama hospitali walitii agizo hilo na kisha wao kuipeleka bili ya deni hilo Ikulu ya Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya