Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hussein Mwinyi Rais mteule wa Zanzibar

Alhamisi , 29th Oct , 2020

Dr. Hussein Alli Mwinyi, sasa ndiye Rais mteule wa Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar, baada ya kuwa ametangazwa na Tume ya Uchaguzi
Zanzibar  kuwa amepata kura 380,402 sawa na asilimia 76.27.

Rais Mteule wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi.

Dkt Mwinyi anakuwa Rais wa nane wa taifa hilo tangu Mapinduzi Matukufu
ya 1964, katika hotuba yake ya mwanzo mapema leo baada ya kuwa Rais
mteule amewashukuru Wanzanzibar wote kwa busara zao na uvumilivu zaidi
akiwataka kuja pamoja kulijenga taifa lao na kuziweka tofauti zao
pembeni.

''Niwashukuru zaidi kwa kunipigia kura za kutosheleza kutangazwa na tume
kuwa Rais Mteule wa Zanzibar, ni imani kubwa kwangu na niwahakikishie
nimeipokea imani hii kwa uzito mkubwa, kwa kuwa imani huzaa imani nami
nitawalipa imani hii kwa utumishi uliotukuka'' -
Dkt Hussein Mwinyi.

Mwinyi ameongeza kuwa'' Aidha nitumie fursa hii kuwapongeza wagombea
wenzangu wote tulioshiriki uchaguzi huu, nikiri kuwa nimejifunza mengi
kutoka kwenu, nitatumia yale mazuri yenu mliyoshauri na mliyo ya ahidi
maana lengo letu ni kuijenga Zanzibar, Zanzibar ni kubwa na muhimu
kuliko tofauti zetu''.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu