Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatujaachana na Shika - Mambosasa

Alhamisi , 7th Dec , 2017

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Lazaro Mambosasa amekanusha taarifa za kuachana na kesi ya Dkt.Louis Shika, na kusema kwamba kesi yake bado ipo pale pale isipokuwa hawajaipa kipaumbele.

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Kamanda Mambosasa amesema jalada la kesi ya Dkt. Shika bado lipo isipokuwa kesi yake haina mashiko kwani hajaleta madhara yoyote kwenye nyumba zilizokuwa zikipigwa mnada.

Kamanda Mambosasa amesema iwapo wataamua kumpandisha mahakamani Dkt. Sika kujibu mashitaka yake umma utajulishwa ili wajue kile kinachoendelea.

"Siyo kweli kama tumeamua kuachana naye kabisa, jalada lake lipo na likikamilika tutaamua nini kinafuata, Shika hakuleta madhara yoyote hivyo kesi yake haina public interest, nyumba ziko salama na hajadhuru mtu, tukiamua kumpandisha mahakamani tutaujulisha umma ili wajue", amesema Kamanda Mambosasa.

Dkt. Louis Shika amefunguliwa jalada la kesi kwa kosa la kuharibu mnada wa nyumba za Lugumi ambao upo kwa amri ya serikali, kwa kusema ananunua nyumba hizo kwa milioni 900 ilhali mfukoni hana pesa kabisa.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma