Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Epukeni matapeli wa milioni 50 kila kijiji - NEEC

Alhamisi , 25th Aug , 2016

Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi nchini (NEEC) limewatahadharisha wananchi juu ya uwepo wa taasisi au watu binafsi ambao wanawadangaya kuwa mpango wa milioni hamsini katika kila kijiji fedha zimetoka na watoe fedha ili kuzipata.

Katibu Mtendaji Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi kiuchumi Bi.Bengi Issa (Kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari

Akizungumza katika kipindi cha SUPAMIX kinachorushwa na East Africa Radio, Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Bengi Issa amesema serikali bado inaendelea na mchakato wa fedha zilizoahidiwa na Rais Dkt. John Magufuli haujakamilika na ukikamilika wananchi watajulishwa.

“ Serikali bado inaendelea na utaratibu wa mpango huu na utakapo kamilika watataarifiwa” Amesema Bengi.

Aidha Bengi ametoa onyo kwa watu binafsi na vikundi ambavyo vinadanganya wananchi wachangie fedha ili kupata fedha hizo watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Ikumbukwe kuwa wakati wa uchaguzi wa mwaka jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliahidi kutoa milioni 50 kila kijiji ili wananchi waweze kunufaika kupitia fedha hizo kwa kufanyia miradi ya maendeleo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi