Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Elimu ya ngono salama kuwaokoa vijana

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Imeelezwa kuwa ili kukabiliana na ongezeko la maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kwa kundi la vijana hususani watoto wa kike, elimu ya ngono salama haina budi kutolewa kwao ili kupunguza athari za ugonjwa huo.

Vijana wakiwa kwenye mkutano(Picha kutoka mtandaoni)

Akizungumza katika mahojiano na kipindi cha Supa Breakfast, Mwanamitindo Mashuhuri nchini Tanzania, Nancy Sumari, amesema kuwa ipo haja ya wazazi kuwa karibu na watoto wao kwani inawajengea kujiamini na kuwaepusha na vishawishi vinavyoweza kupelekea athari mbalimbali ikiwemo kupata maambukizi ya Ukimwi.

"Ili kuepukana na janga la Ukimwi elimu ya ngono salama ni muhimu kwasababu kadri tunavyoendelea linazidi kutuwathiri vijana lazima tuwatahadharishe watoto wetu," amesema Nancy.

Pia mwanamitindo huyo amesema ipo haja ya ajenda iliyotumika miaka ya nyuma ya kulea watoto kama kijiji kurudi upya ili kukilinda kizazi hiki ambacho kipo hatarini.

"Waafrika tuna tamaduni ya kulea watoto kama tupo kwenye kijiji fulani yaani mtoto wakwako ni wa mwenzako, nafikiri hii iliwahi kuwa ajenda yetu kitaifa tuna kila sababu ya kurudi huko tukalinda watoto wetu," amesema Nancy Sumari.

Kwa upande wake mwelimishaji wa vijana kutoka Sitetereki, Victor Mushi ameeleza kuwa  wazazi wanapaswa kuwahusisha vijana wao katika maamuzi wanayoyafanya ambayo yanahusu mustakabali wa maisha yao na kuondoa hofu waliyonayo kwani itasaidia katika kuwaelimisha na kuwasaidia kujikinga zaidi na athari mbalimbali.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali