Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Diaspora wenye fedha kufuatiliwa 

Jumatatu , 1st Mar , 2021

Serikali imesema kuwa kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, itahakikisha inawafuatilia Watanzania wenye fedha wanaoishi nje ya nchi ili waweze kuja kuwekeza hapa nchini kwa lengo la kukuza uchumi wa nchi.

Waziri wa Ofisi ya Rais Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo

Kauli hiyo imetolewa leo Machi Mosi, 2021, na Waziri wa Ofisi ya Rais Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio na kuwasisitiza Watanzania kufanya uwekezaji ndani ya nchi bila kusahau suala la ulipaji wa kodi.

"Kwenye sekta ya uwekezaji tunachokifanya kwa sasa moja ya mkakati wetu tunalenga watu, na mmoja wa mtu ambaye tumemlenga ni Diaspora, kuna Watanzania wengi wanaishi nje ya nchi wamekaa miaka 10 hadi 30 wanahela huko, kwanza tunaanza kuwatambua kupitia Wizara ya Mambo ya Nje Watanzania wanaoishi nje wenye visenti ili waje kuwekeza," amesema Prof. Mkumbo.

Akizungumzia suala la ulipaji wa kodi, Prof. Kitila, ameitaka Mamla ya Mapato nchini (TRA), kudai kodi kwa ustaarabu, "Ni lazima wenzetu wanaokusanya kodi watoe taarifa sahihi, lakini pia wajue kukusanya kodi ni 'customer care' siyo waende kipolisi, kwa hiyo watu wa TRA ifike mahala wajue kwamba Watanzania wengi ni wazuri waende kudai kodi wakijua huyu atalipa".

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu