Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Desemba wenye VVU watafikia milioni 1.7" - Ummy

Jumatatu , 16th Mei , 2022

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema hadi kufikia Desemba 2022 Tanzania inakadiriwa kuwa na Watanzania milioni 1.7 ambao wanaishi na virusi vya Ukimwi na kati yao milioni 1.5 wameweza kutambua hali zao.

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu

Kauli hiyo ameitoa leo Mei 16, 2022, bungeni jijini Dodoma, wakati wa uwasilishaji wa makadirio ya bajeti ya mapato na matumizi ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2022 hadi 2023 na kusema hadi sasa asilimia 95.8 ya wanannchi waliokuwa wanatumia dawa za ARV walikuwa wamefubaza wingi wa virusi vya Ukimwi ambayo ni sawa na chini ya nakala 1000.

"Hadi Desemba 2022, nchi yetu inakadiriwa kwamba kuwa na watanzania milioni 1.7 ambao wanaishi na virusi vya Ukimwi," amesema Waziri Ummy

Aidha Waziri Ummy, amemshukuru Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa kuwa balozi wa kuhamasisha wanaume kupima virusi vya Ukimwi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali