Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC ahimiza walimu kuendeleza zoezi la unawaji

Alhamisi , 19th Nov , 2020

Katika kuadhimisha kilele cha Wiki ya Choo Duniani na Unawaji wa Mikono jamii imeshauriwa kujali afya na mazingira ikiwa ni pamoja na kunawa mikono kwa maji safi na salama na matumizi bora ya choo ili kuepukana na maradhi.

Mkuu wa wilaya ya Ilala, Ng'wilabuzu Ludigija.

Akizungumza leo Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho hayo Mkuu wa wilaya ya Ilala Ng'wilabuzu Ludigija, amesema pamoja na jitihada zilizofanywa na Manispaa ya Ilala na wadau wamaendeleo ya afya bado kunachangamoto ya unawaji mikono ambapo mwitikio umekuwa mdogo na kuwataka walimu kuendelea na zoezi la unawaji wa mikono mashuleni.

Kwa upande wake Meneja Miradi ya Mazingira na Usafi wa Afya (AMREF), Mhandisi Mtuli James, amesema bado kuna changamoto ya elimu juu ya choo bora kwa jamii hivyo wana mkakati wa kuendeleza elimu ya matumizi ya vyoo bora ambapo mpaka sasa wamefikia watu 10,000 kwa kaya na watu wasiopungua 60,000.

Naye Balozi wa Kampeni ya Nyumba ni Choo, Mrisho Mpoto, amesema malengo ya kufanya madhimisho hayo ni kuweza kuwafikia watu wengi na kuwapa elimu ambapo amewapongeza Watanzania kwa kuwa na mwamko choo bora na kunawa mikono ili kuondokana na tamaduni za kizamani na kuleta matokeo chanya.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu