Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chuo Kikuu walimu wanaamua ufeli ama ufaulu

Jumatatu , 24th Jan , 2022

Mwanasheria kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Fulgence Massawe, amesema kuwa kundi kubwa linaloathirika zaidi na rushwa ya ngono na ukatili wa kinjinsia ni la wasichana wa vyuo vikuu sababu walimu wao ndiyo wanaoamua hatima za elimu zao.

Mwanasheria kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Fulgence Massawe

Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 24, 2022, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio na kusema kwamba walimu wa vyuo vikuu ndiyo wanaoamua msichana afaulu ama afeli, tofauti na walimu wa elimu za chini ya hapo.

"Mwili wako ndiyo unaamua utoe rushwa, usipotoa rushwa utafeli ni mazingira ambayo magumu, tofauti na huku chini, huku utanifelisha 'coursework' lakini NECTA huendi kusahihisha wewe, lakini kwenye vyuo vikuu mwalimu anayekufundisha anaweza kuamua hatima ya elimu yako ni sehemu ambako mwalimu ana mamlaka mengi lakini anaweza kuyatumia vibaya yakamuathiri mtoto," amesema Massawe

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi