Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chongolo aonya wananchi wanaouza ardhi hovyo

Jumatano , 31st Mei , 2023

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amewaonya wananchi wa jimbo la Isimani mkoa wa Iringa kuacha kuuza ardhi hovyo badala yake waitumie kuleta tija na kukuza uchumi wao.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo

Chongolo ametoa kauli hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu wanaohitaji mashamba kuhamia eneo la Pawaga inakojengwa skimu ya umwagiliaji inayogharimu shilingi bilioni 55, ambapo kumekuwa na wimbi kubwa la wananchi kuuza ardhi bila sababu za msingi. 

"Acheni  kuuza ardhi hovyo ardhi ndio dhahabu ya uhakika, kama unataka fedha mwambie mtu mwaka huu sitaki kushika jembe,lima ardhi yangu hii nipe fedha mwakani nirudishie ardhi yangu ndio mtu mjanja anavyofanya, acheni kuuza ardhi hovyo mtakuja kujuta na mtakuja kulaaniwa na watoto na wajukuu zenu," amesema Chongolo

Amesema mwenye akili haachii ardhi yake kwa ajili ya kumuuzia mtu mwingine anamkodisha ili iendelee kuwa sehemu ya msaada kwake yeye kwa watoto na wajukuu.

"Watu wanapoenda kufuata ardhi vijijini kwani hawajui kama ina tija? hawajui ina faida? hawajui maslahi yake kwani ninyi hamtaki hiyo tija kwanini mnakaa kienyeji, ukinyang'anywa maana yake wewe mwenyewe umeachia achia mambo, simameni mguu sawa lindeni ardhi zenu ziwasaidie badae na watoto wenu," ameongeza Chongolo

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali