Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Changamoto ya ukatili kwa wanafunzi Goba

Alhamisi , 26th Jan , 2023

Kukosekana kwa uzio pamoja na wanafunzi, kutembea umbali mrefu katika maeneo yanayozingirwa na vichaka zimetajwa kuwa changamoto zinazochangia kuongezeka kwa matukio ya ukatili yakiwemo ulawiti na ubakaji kwa baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi katika kata ya Goba wilayani Ubungo Dar

Hayo yamebainishwa katika shule mbili za msingi Kunguru na Kulangwa zilizopo mtaa wa Tegeta "B" katika kata ya Goba baada ya wanafunzi pamoja na walimu wa shule hizo kueleza kutofurahishwa mazingira wanayokutana nayo wanafunzi wakiwa shuleni na hata wakati wa kurejea majumbani kutokana na maeneo mengi kuzungukwa na mapori ambayo yamekua yakihatarisha usalama wao.

Licha ya wanafunzi wa shule hizo kuwa kwenye hatari ya kukumbwa na matukio ya ukatili lakini pia shule inakabiliwa na upungufu wa madawati, viti pamoja na meza za walimu hali inayowalazimu baadhi ya walimu kutumia madawati ya wanafunzi wakati wa kutekeleza majukumu yao.

Kufuatia changamoto zinazoikabili shule hizo baadhi ya viongozi kutoka jumuiya ya wazazi ya chama cha mapinduzi CCM kata ya Goba wakatembelea katika shule hizo lengo likiwa ni kuangalia namna ya kutatua changamoto zinazowakabili wanafunzi wa shule hizo.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA