Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yatoa neno kwa wabunge waliohama

Ijumaa , 15th Dec , 2017

Katibu Mkuu wa  Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vicent  Mashinji amesema wao hawana shida na suala la baadhi ya wanachama na  Wabunge wa chama hicho kutimkia CCM kwa sababu wanatumia haki yao ya kikatiba.

Dkt. Mashinji amesema wabunge wanaohama na kujiuzulu  CHADEMA hawaiyumbishi  chama hicho tu bali wanayumbisha wadau wote wa uchaguzi pamoja na wananchi ambao ni walipa kodi, maana mchakato wa uchaguzi unatumia fedha na fedha hizo ni kodi za wananchi.

"Upande wa pili  umeamua  kujitoa ufahamu unafikiria kwamba kwa kufanya siasa za  kuwapa  watu rushwa wa upinzani kuhamia kwao kunadhohofisha  vyama vya upinzani, na kuwaahidi kuwapa nafasi zile zile walizokuwa nazo upinzani hata kama walishindwa kwenye kura za maoni”, amesema Mashinji.

Katibu huyo ameongeza kuwa tabia hiyo inaonekana wazi mpaka na ushahidi tayari ulishapelekwa kuanzia kwenye lile sakata la madiwani huko Arumeru walinunuliwa na Mh. Lema na Nassari walipeleka ushahidi TAKUKURU, hivyo CHADEMA haina shida nao wanaohama kwa sababu wanatumia haki yao kikatiba", amesema Dkt. Mashinji.

Hivi karibuni upinzani umeondokewa na Mwenyekiti wa baraza la Vijana taifa (BAVICHA), Patrobas Katambi pamoja na Godwin Aloyce Mollel ambaye alikuwa Mbunge wa Siha (CHADEMA).
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu