Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yatoa maagizo matatu kuhusu Halima Mdee

Jumatatu , 15th Jul , 2019

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kimelaani vikali kitendo kilichofanywa na Jeshi la Polisi Mjini Bukoba, kwa kumshikilia na kumnyima dhamana Mwenyekiti wa Baraza la wanawake, Halima Mdee kitendo kinachodhaniwa kuwa ni cha kuendelea kuwanyanyasa na kuwakandamiza.

Akizungumza leo Julai 15, 2019 Mkuu wa Idara ya habari na Mawasiliano wa chama hicho, Tumaini Makene, amelitaka jeshi hilo kumtendea haki Halima Mdee kwa mujibu wa sheria, na kwamba wamuachie kwa dhamana, au wampeleke mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.

''Polisi wanapaswa kumfanyia mambo matatu, kumuachia huru bila masharti, kama ana makosa wamuachie kwa dhamana kwa sababu kosa lake linadhaminika, au wampeleke Mahakamani akajibu tuhuma zake kama mashtaka yake yapo. Kuendelea kumshikilia kinyume cha sheria ni jambo ambalo halikubaliki", amesema Makene.

Kwa upande wake Mbunge wa Bunda, Esther Bulaya ameshangazwa na kitendo cha polisi kumkamata Halima Mdee, ilihali alikuwa anafanya kikao cha ndani cha wanawake, na kudai kuwa UWT wanafanya makongamano Kigoma.

Halima Mdee alikamatwa Julai 14, mara baada ya kumaliza kufanya kikao cha ndani cha kuwajengea uwezo wanawake wapya waliochaguliwa katika baraza hilo, anashikiliwa katika kituo cha Polisi Bukoba kwa kosa la kutoa maneno ya uchochezi.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu