Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM yaanza mchakato kumpata Spika wa Bunge

Jumapili , 9th Jan , 2022

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza mchakato wa kumpata spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambao utaanza Januari 10, 2022 kwa wenye nia kuchukua fomu, na kuhitimishwa mwisho wa mwezi kwa wabunge wa chama hicho kupiga kura za kumpitisha mgombea. 

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Shaka Hamdu Shaka

''Kuanzia tarehe 10-15, litafanyika zoezi la kuchukua na kurejesha fomu kwa wabunge wa CCM kuomba kuteuliwa na chama kuwania kiti cha Spika'' - Shaka Hamdu Shaka, Katibu Mwenezi.

''Tarehe 17, 2022 sekretarieti ya Halmshauri Kuu ya Taifa itakutana kwaajili ya kujadili wagombea na kuishauri Kamati Kuu juu ya wagombea ambao wamejitokeza kuomba kiti cha uspika'' - Shaka Hamdu Shaka, Katibu Mwenezi.

''Tarehe 18-19 kutakuwa na kazi ya kuchuja na kufanya uteuzi wa mwisho ambapo kamati kuu ya Halmashauri kuu itafanya kazi hiyo'' - Shaka Hamdu Shaka, Katibu Mwenezi.

''Kuanzia tarehe 21-30, katika siku hizo, Cocas ya Chama ya wabunge wa CCM itapiga kura kumpata mbunge ambaye atakwenda kusimama bungeni kwaajili ya kuomba kuchaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania'' - Shaka Hamdu Shaka, Katibu Mwenezi.

Tazama hapo chini Shaka akieleza
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali