Bernard Membe akiwa kwenye moja ya kazi za CCM
Membe pamoja na wanachama wengine waliorejeshewa kadi zao watakabidhiwa kwenye maeneo waliyopo.
Membe ambaye alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje kwenye serikali ya awamu ya nne, alifukuzwa uanachama wa CCM Februari 28, 2020 kufuatia uamuzi ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, (CCM) Taifa.

